Uchanganuzi wa mafumbo katika nyimbo za taarab za Siti Binti Saad

Main Article Content

Job Juma
Rocha Chimerah
Yakobo Mutiti

Abstract

Makala hii imeangaza muhutasari wa nyimbo na maana ya mafumbo yanayojitokeza katika nyimbo za Taarab za Siti Binti Saad. Maana ya mafumbo katika nyimbo hizi yamehusishwa na utamaduni wa Waswahili katika Upwa wa Afrika Mashariki. Utafiti huu umeongozwa na nadharia ya Semiotiki na ile ya Mtindo. Utafiti huu ulikuwa wa nyanjani na wa maktabani. Kuna data za msingi ambazo zilikusanywa nyanjani na za upili ambazo zilipatikana kwenye vitabu maktabani. Nyimbo ziliteuliwa kimakusudi kwa vile ni nyimbo zilizojulikana sana. Makala haya yaliwasilishwa kwa njia ya maelezo ili kubainisha aina mbalimbali za mafumbo. Katika ufafanuzi wa mafumbo katika nyimbo hizi maudhui ainati yalijitokeza. Kazi hii inalenga kuwafaidi wanafunzi wa fasihi katika uelewaji wa jinsi ya kuchanganua mafumbo. Vilevile, nyimbo za Siti zitaweza kuhifadhiwa kupitia kwa utafiti huu. Makala hii itakuwa kumbukumbu ya nyimbo za Siti.

Downloads

Download data is not yet available.

Article Details

How to Cite
Juma, J., Chimerah, R., & Mutiti, Y. (2022). Uchanganuzi wa mafumbo katika nyimbo za taarab za Siti Binti Saad. Nairobi Journal of Humanities and Social Sciences, 6(1), 1-16. https://doi.org/10.58256/njhs.v6i1.711
Section
Articles

How to Cite

Juma, J., Chimerah, R., & Mutiti, Y. (2022). Uchanganuzi wa mafumbo katika nyimbo za taarab za Siti Binti Saad. Nairobi Journal of Humanities and Social Sciences, 6(1), 1-16. https://doi.org/10.58256/njhs.v6i1.711

References

Bakhtin, M. (1981). Theory of the Text. Routledge.

Bathes, R. (1994). The Semiotic Challenge. University of California Press.

Buffon, G. (1930). Buffons Discourse on Style. Hatier Publications.

Enon, J. (1998). Education Research Statistics and Measurement. Makerere University.

Fair, L. (2013). Historia ya Zanzibar na Nyimbo za Siti Binti Saad. Twaweza Publishers.

Fromkin, V. Rodman, R. and Hymes M. (2003). An Introduction to Language. Thomson/Heinie.

Githonga, W. N. (2013). Uchambuzi Linganishi wa Fani na Maudhui ya Nyimbo za Harusi za Kimeru na za Kiswahili. Tasnifu ya Uzamili Chuo Kikuu cha Nairobi. (Haijachapishwa).

Issa, M. (1991) Jukwaa la Taarab Zanzibar. Mediafrica.

I- Wensu, L. (2002) What can Metaphor Tell us About culture? National Tainwan University Language and Linguistics. 3: 3: 589-612.

Jilala, H. (2008). The Artist Uses of Metaphors in Constructing Meanings and Messages in New Generation Songs in Tanzania. Tasnifu ya Uzamili Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam (Haijachapishwa).

Kahigi, K. K. na Mulokozi, M. M. (1982) Kunga za Ushairi na Diwani ya Yetu.Tanzania Publishing House.

Kaneko, M. (2012) Metaphor and Symbol. University of the Witwatersrand.

Kea, P. (2006) Usemezano katika Nyimbo za Taraab. Tasnifu ya Uzamili Chuo Kikuu cha Kenyatta. (Haijachapishwa).

Kingei, K. (1993) Language, Culture and Communication: The role of Swahili Taarab Songs in Kenya 1963-1990. Tasnifu ya uzamifu Chuo Kikuu cha Howard.

Kipacha, A. (2015) Taswira za Ndege katika Maandiko ya Shaaban Robert. Swahili Forum 22 (2015:1-19)

Khamis, W. A. (2016) Kuchunguza Dhamira za nyimbo za Siti Binti Saad. Tasnifu ya Chuo Kikuu cha Tanzania. (Haijachapishwa).

Khamis, S. A. M (2004) Versality of Taarab in Relation to Local and Global Influences. Swahili Forum 11. P. 3-37.

Khatib, M. (1992). Taarab Zanzibar. Tanzania Publishing house.

Kothari, R. (2004). Research Methodoly: Methods and Techniques. New Age International Ltd.

Lakoff, G. and Jonson M. (1980). Metaphors we live by. University of Chicago Press.

Leech , G (2008). Language in Literature. Pearson Education Limited.

_________(1969) A linguistic Guide to English Poetry. London. Longman.

Leech, G. na Short, M. (2007). Style in Fiction: A Linguistic Introduction to Fictional Prose. Longman Limited.

Msokile, M. (1993). Misingi ya Uhakiki wa Fasihi. East Africa Education Publishers.

Nasra, H. M. (2007) Mfinyazi Aingia Kasri: Siti Binti Saad, Malkia wa Taarab. Mkuki na Nyota Publishers.

Nguti, M. (2013). Ulinganishaji wa Matumizi ya Tasfida za Muktadha wa Nyumbani katika Lugha ya Kikamba na Kiswahili. Tasnifu ya M. A (Haijachapishwa).

Ntarangwi, M. (2001). A socio-historical and contextual Analysis of Popular Musical Performance Among the Swahili of Mombasa. Kenya, Cultural Analysis 2(pp.1-37)

Roberts, S. (1967). Diwani ya 3: Wasifu wa Sinti Binti Saad. Printpak Tanzania Limited.

Roberts, S. (1991). Wasifu wa Sinti Binti Saad. Mkuki wa Nyuki.

Shaban, M. (1966). Waimbaji wa Juzi. Chuo Cha Uchunguzi wa Lugha ya Kiswahili.

Sheikh, S. (1994). Yanayoudhi Kuyaona Mafumbo na Vijembe vya Kiswahili AAP (7-11) Swahili-Kolloquium.

Timammy, R. (2002). Mombasa Swahili Womens Wedding Songs: A stylistic Analysis. Tasnifu ya Uzamifu Chuo Kikuu cha Nairobi. (Haijachapishwa).

TUKI (2004). Kamusi ya Kiswahili Sanifu. Oxford University Press.

Vierke, C. (2012). Mafumbo: Considering the Functions of Metaphorical Speech in Swahili

Contexts. Annual Conference on African Linguistics. 42: 278-290.

Wamitila, K. W. (2002). Uhakiki wa Fasihi: Misingi na Vipengele Vyake. Phoenix.

Wardhaugh, R. (2002). An Introduction to Sociolinguistics. (4th Ed). Oxford: Blackwell Publishers.